Kibisorio ni lugha ya Kivuka-Guinea Mpya nchini Papua Guinea Mpya inayozungumzwa na Wabisorio. Mwaka wa 2003 idadi ya wasemaji wa Kibisorio imehesabiwa kuwa watu 260. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kibisorio iko katika kundi la Kiengan.