Mvuha ni kata ya Wilaya ya Morogoro Vijijini katika Mkoa wa Morogoro, Tanzania, yenye Postikodi namba 67220.
Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 21,478 [1]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 14,250 [2] walioishi humo.
Wananchi wengi wa kata hiyo ni Waluguru wanaofuata dini ya Uislamu.