Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Ngazargamu

Birnin Ngazargamu
Birnin Ngazargamu

Ngazargamu, Birni Ngazargamu, Birnin Gazargamu, Gazargamo au N'gazargamu ulikuwa mji mkuu katika Dola la Bornu kutoka mwaka 1460 hivi hadi 1809. Iko kilomita 150 (93 mi) magharibi mwa Ziwa Chad katika Jimbo la Yobe nchini Nigeria ya sasa. Mabaki ya mji mkuu wa zamani bado yanaonekana.


Previous Page Next Page






Ngazargamu Catalan Gazargamo German Ngazargamu English Ngazargamu Spanish Ngazargamu FF Ngazargamu French Ngazargamu HA

Responsive image

Responsive image