Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Sosyo

Mt. Sosyo (kulia) alivyochorwa amevaa kiibada kama shemasi pamoja na Severino wa Noriko.

Sosyo (Miseno, mkoa wa Campania, leo nchini Italia 275 - Pozzuoli, Campania, 305) alikuwa shemasi aliyeuawa pamoja na askofu Januari na wenzake.

Papa Simako alisimulia kwamba Sosio, akitamani kumuepusha na kifo askofu wake huyo, alijikuta anaungana naye katika kifodini, akipata kwa gharama ileile utukufu uleule wa kwake.[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa hasa tarehe 23 Septemba[2].

  1. http://www.santiebeati.it/dettaglio/91102
  2. Martyrologium Romanum

Previous Page Next Page






Sossius English Sossio de Miseno Spanish Sosie de Misène French Sossio di Miseno Italian Sosius van Misenum Dutch Соссий Russian Сосије Мизенски Serbian

Responsive image

Responsive image