Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Abeli

Sanamu ya marumaru kwenye Kanisa kuu la Milano inayoonyesha Kaini alivyomuua Abeli.
Kaini akimuua Abeli, kadiri ya mchoro mdogo wa karne XV.

Abeli au Habili ni jina la mtu anayetajwa na Biblia kama mwana wa pili wa Adamu na Eva na kama binadamu wa kwanza kufa, akiwa ameuawa na kaka yake Kaini kwa kijicho.

Habari hizo zinapatikana katika kitabu cha Mwanzo (4:2-8), lakini Abeli alitajwa pia na Yesu kama mfiadini wa kwanza (Math 23:35).

Kurani inasimulia habari hiyo bila kumtaja Abeli (5:27-31).


Previous Page Next Page






هابيل Arabic هابيل ARZ Abel BCL Авель BE Абэль BE-X-OLD Авел Bulgarian হাবিল Bengali/Bangla ཧ་བེལ། BO Abel Catalan Ábel Czech

Responsive image

Responsive image