Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Agano

Amri Kumi zilivyoandikwa mbele ya ikulu ya Texas, Marekani.

Agano ni neno lenye maana nzito katika dini mbalimbali, hasa zile zinazofuata imani ya Abrahamu kwa Mungu mmoja.

Upekee wake ni kwamba agano hilo si kati ya pande mbili zilizo sawa, kama yale kati ya watu, bali ni Mungu anayelianzisha na kupanga masharti, akimhimiza binadamu kukubali na kuwa mwaminifu.


Previous Page Next Page






Agano CEB Agano German Agano English Agano Spanish Agano (homonymie) French Agano Italian 阿賀野 Japanese 아가노 Korean Agano Dutch Agano Polish

Responsive image

Responsive image