Aina za maneno ni dhana au maana ya neno/maneno. Pia aina za maneno huhusisha mgawanyo wa maneno hayo kulingana na matumizi yake.
Kwanza neno ni umbo lenye maana ambalo lina nafasi pande mbili. Neno ni silabi au mkusanyo wa silabi wenye kubeba au kuleta maana fulani.