Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Aina za maneno

Aina za maneno ni dhana au maana ya neno/maneno. Pia aina za maneno huhusisha mgawanyo wa maneno hayo kulingana na matumizi yake.

Kwanza neno ni umbo lenye maana ambalo lina nafasi pande mbili. Neno ni silabi au mkusanyo wa silabi wenye kubeba au kuleta maana fulani.


Previous Page Next Page