Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Airbus

Airbus 380 ni ndege kubwa ya abiria duniani na ilianza kutumiwa na Singapore Airlines
A 330-200 Air Seychelles 2013

Airbus SAS ni kampuni kubwa ya kutengeneza eropleni katika Ulaya na moja ya makampuni makubwa duniani katika fani hii.

Kwa jumla imeajiri watu 50,000 katika nchi mbalimbali na hasa katika viwanda vyake huko Ufaransa, Ujerumani, Uingereza na Hispania.

Tangu mwaka 2001 Airbus imekuwa kampuni inayotengeneza ndege za kusafirisha abiria nyingi duniani. Ni hasa aina mbalimbali kama vile Airbus A300, Airbus A310 au Airbus A320. Tangu mwaka 2007 Airbus A380 ni ndege kubwa kabisa ya kubeba abiria duniani.


Previous Page Next Page






Airbus AF Airbus ALS إيرباص Arabic شركة ايرباص ARZ Airbus AST Airbus AZ ائیرباس AZB Airbus BA Airbus BAR Airbus BE

Responsive image

Responsive image