Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Alasiri

Pwani ya Atlantiki wakati wa alasiri.

Alasiri (kutoka Kiarabu) ni kipindi cha mchana kati ya adhuhuri na jioni, wakati ukali wa mwanga wa jua unapozidi kupungua.

Kwa kawaida wakati huo kwa binadamu unafuata mlo: hivyo utendaji wake unapungua pamoja na umakinifu wake. Ndiyo sababu ajali nyingi huwa zinatokea wakati huo.

Dini mbalimbali zenye ratiba ya sala, kwa mfano Ukristo na Uislamu, zina kipindi maalumu kwa alasiri.


Previous Page Next Page






بعد الظهر Arabic مورا الضهر ARY Sanja BAN Popėitė BAT-SMG Hapon (panahon) BCL Kemuap BDR Следобед Bulgarian Kamarian BJN অপরাহ্ন Bengali/Bangla Tarda Catalan

Responsive image

Responsive image