Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Aleksander Mashuhuri

Aleksander Mashuhuri (Mkuu)
Mfalme wa Masedonia
Aleksander jinsi alivyomshambulia mfalme Dario wa Uajemi kwenye mapigano ya Issos (mozaiki ya Aleksander mjini Napoli, Italia)
Kusimikwa336
Vyeo vingineMkuu wa shirikisho la Wagiriki, Shahanshah wa Uajemi, Farao wa Misri, Bwana wa Asia
.
WakeRoksana wa Baktria
Stateira wa Uajemi
Parysatis wa Uajemi
NasabaNasaba ya Masedonia
BabaFilipo II wa Masedonia
MamaOlimpia wa Epiros
Kichwa cha Aleksander, sanaa ya Kiroma, marumaru mnami karne ya 1/2 BK

Aleksander Mashuhuri (au Aleksanda Mkuu, kwa Kigiriki Μέγας Αλέξανδρος, inayoandikwa kwa alfabeti yetu Megas Aleksandros) aliishi tangu Julai 356 KK hadi tarehe 11 Juni 323 KK.

Mfalme wa Masedonia (336323 KK), anajulikana kama mmoja kati ya amiri jeshi waliofanikiwa kupita wote wengine katika historia ya dunia. Kabla hajafariki kwa umri wa miaka 33 aliteka sehemu kubwa ya dunia iliyojulikana na Wagiriki wa zamani zake, kuanzia Ulaya hadi Bara Hindi na Misri.


Previous Page Next Page