Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Antiokia wa Pisidia

Antiokia kutoka thieta ya mji.
Maghofu ya mji.
Kisima.

Antiokia wa Pisidia (kwa Kigiriki: Ἀντιόχεια τῆς Πισιδίας, Antiokeia tes Pisidias) ulikuwa mji wa Wagiriki wa Kale katika rasi ya Anatolia, sasa katika wilaya ya Isparta, nchini Uturuki.

Kwa sasa ni maghofu tu yanayopatikana km 1 kaskazini-mashariki kwa Yalvaç.

Mwaka 46 Mtume Paulo na Barnaba walifika mara mbili kuinjilisha huko (Mdo 13:13-52 na 14:21-23). Paulo alirudi tena katika maeneo hayo wakati wa safari yake ya pili (16:1) na ya tatu (18:23) ingawa alipatwa na dhuluma (2 Tim 3:11).


Previous Page Next Page