Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Asili

Asili (kutoka neno la Kiarabu) ni chanzo cha jambo fulani. Kila kitu kina asili yake, hakuna kitu duniani au ulimwenguni jumla kisichokuwa na asili.

Kwa mfano, kadiri ya dini mbalimbali, asili kuu ya binadamu wote ni Mungu aliyewaumba, ingawa pia Adamu na Eva wanatazamwa kuwa asili ya wale wote waliozaliwa nao.


Previous Page Next Page






Origine French Orijin HT Origine Italian 発祥 Japanese

Responsive image

Responsive image