Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Austria

'Republik Österreich
Jamhuri ya Austria
Bendera ya Austria Nembo ya Austria
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: --
Wimbo wa taifa: “'Land der Berge, Land am Strome
(Kijerumani kwa "Nchi ya milima, nchi ya mtoni")
Lokeshen ya Austria
Mji mkuu Vienna
48°12′ N 16°21′ E
Mji mkubwa nchini Vienna
Lugha rasmi Kijerumani 1
Serikali Jamhuri
Alexander Van der Bellen
Karl Nehammer
Uhuru
Mkataba kuhusu Austria ulianza
Tangazo la baki

27 Julai 1955
26 Oktoba 1955
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
83,871 km² (ya 115)
1.3
Idadi ya watu
 - 2022 kadirio
 - 2021 sensa
 - Msongamano wa watu
 
9,027,999 (ya 98)
8,932,664
107.6/km² (ya 106)
Fedha Euro () 2 (EUR)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
CET (UTC+1)
CEST (UTC+2)
Intaneti TLD .at 3
Kodi ya simu +43
1 Kislovenia, Kikroatia, Kihungaria ni lugha rasmi kieneo.
2 Kabla ya 1999: Shilingi ya Austria.


Ramani ya Austria

Austria (kwa Kijerumani: Österreich) ni nchi ya Ulaya ya Kati. Imepakana na Ujerumani, Ucheki, Slovakia, Hungaria, Slovenia, Italia, Uswisi na Liechtenstein.

Mji mkuu ni Vienna.


Previous Page Next Page






Австриа AB Austria ACE Аустрие ADY Oostenryk AF Österreich ALS ኦስትሪያ AM Awtili AMI Austria AN Ēastrīċe ANG ऑस्ट्रिया ANP

Responsive image

Responsive image