Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Bangi

Duka la bangi lililoruhusiwa na serikali mjini Jaisalmer, Rajasthan, India.

Bangi (pia: bhang, bhangi kutoka Kihindi भांग, bhāṅg) ni majani ya mmea wa kike wa mbangi (Cannabis). Ndani yake mna dawa inayosababisha namna ya ulevi unaotegemea kiasi cha dawa kinachoingia mwilini. Hata hivyo ina uwezo wa hali ya juu kukabiliana na magonjwa sugu kama vile kansa, kusaidia mgonjwa mwenye maumivu makali sana na kuongeza hamu ya kula kwa mgonjwa wa Upungufu wa Kinga Mwilini (UKIMWI). Pia bangi ina saidia kusawazisha kiwango cha presha

Hutumika pia kwa mapishi pamoja na maua (matumba). Hutumika aidha kama kinywaji, kama kiungo ndani ya vyakula au huvutwa.

Mfano wa msokoto wa bangi

Previous Page Next Page






ভাং Bengali/Bangla Bhang German Bhang English Bhang Spanish Bhang Finnish Bhang French भांग HI Bhang ID Bhang (gastronomia) Italian バングー Japanese

Responsive image

Responsive image