Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Baraza la Mawaziri

Baraza la mawaziri ni baraza linaloongoza tawi la utendaji la serikali. Wanachama wa baraza huitwa mawaziri ama makatibu, k.m. Kenya na Marekani.

Kazi ya baraza la mawaziri inatofautiana kulingana na nchi: katika baadhi ya nchi, ni kikundi kilicho na wajibu wa kufanya maamuzi kwa pamoja, kwingine, linaweza kuwa kikundi cha washauri au wasaidizi katika kufanya maamuzi kwa mkuu wa nchi au mkuu wa serikali. Baraza la mawaziri huwa na wajibu wa usimamizi wa kila siku wa shuguli za serikali.

Waziri huwa na jukumu la kutawala wizara, au idara Marekani. Pia, mawaziri huwa waanzilishi wazuri na muhimu wa miswada bungeni.


Previous Page Next Page