Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Bunge la Kenya

Majengo ya Bunge la Kenya na Uhuru Park, Nairobi.

Bunge la Kenya ni bunge lenye vyumba viwili[1] ambavyo ni:

Kabla ya katiba mpya, bunge lilikuwa la chumba kimoja.

Bunge hili lilianzia muhula wake wa kumi na tatu tarehe 8 Septemba 2022.

Wajumbe hukutana katika majengo ya bunge, Nairobi.

  1. "Establishment and role of Parliament". parliament.go.ke. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2013-04-01. Iliwekwa mnamo 30 Machi 2013.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)

Previous Page Next Page