Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Buni

Buni ni kituo cha teknolojia kinachosaidia watu (hasa vijana) kuhusiana na mambo ya ugunduzi na ujasiriamali wa kiteknolojia kwa kuwajengea watu uwezo, kuwashauri watu na uwezeshaji wa jamii nzima kwa ujumla juu ya mambo yahusuyo teknolojia.Buni ilianzishwa mnamo mwaka 2011 ndani ya Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH)[1] nchini Tanzania .[2]

  1. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2021-05-20. Iliwekwa mnamo 2021-05-30.
  2. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2017-08-29. Iliwekwa mnamo 2017-08-19.

Previous Page Next Page








Responsive image

Responsive image