Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Chiapas

Chiapas, Mexico
Bendera ya Chiapas
Mahali pa Chiapas katika Mexiko

Chiapas (jina rasmi: Estado Libre y Soberano de Chiapas; Kiswahili: dola huru la kujitawala la Chiapas) ni moja kati ya majimbo 31 ya Mexiko. Ni jimbo kwenye ncha ya kusini ya

Chiapas

nchi. Mji mkuu na mji mkubwa ni Tuxtla Gutiérrez.

Imepakana na Oaxaca, Tabasco, Veracruz na nchi ya Guatemala. Kunako mwaka wa 2005, idadi ya wakazi ilikuwa 4,293,459. Eneo la jimbo ni 74,211 km².

Kilimo ni uti wa mgongo wa uchumi. Mazao ya soko ni kahawa, asali na miwa. Kwa jumla eneo halikuendelea sana na wakazi ni kati ya watu maskini zaidi wa Meksiko.

Gavana wa jimbo ni Juan José Sabines Guerrero.

Lugha ni Kihispania na Kimaya.


Previous Page Next Page






Chiapas AF Chiapas AN تشياباس Arabic Chiapas AST Chiapas Istadu AY Ч’япас BE Ч’япас BE-X-OLD Чиапас Bulgarian Chiapas BR Chiapas BS

Responsive image

Responsive image