Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Delta (jimbo)

Jimbo la Delta
(Nigeria)

Mahali
Faili:Nigeria-jimbo delta.png
Takwimu
Gavana Emmanuel Uduaghan (PDP)
Kuundwa 27 Agosti 1991
Mji Mkuu Asaba
Eneo 17,698 km²
Wakazi
1991 Sensa
2005
NAfasi ya 9 kati ya majimbo ya Nageria
2,570,181
4,710,214
ISO 3166-2 NG-DE

Jimbo la Delta ni jimbo la Nigeria kusini. Iko kwenye eneo la delta ya mto Niger. 1991 ilianzishwa kutokana na jimbo la awali la Bendel. Mji mkuu ni Asaba lakini mji mkubwa jimboni ni Warri.

Delta ni eneo lenye mafuta ya petroli lakini utajiri wake haujafika kwa wananchi bali mapato ya mafuta yalitumiwa hasa na serikali kuu kwa mambo ya kitaifa na pia ufisafi.

Hivyo Delta ya mto Niger imeona umgomvi mwingi kwa sababu wenyeji hawaridhiki tena.


Previous Page Next Page






Delita ANN ولاية دلتا Arabic Delta ştatı AZ دلتا ایالتی AZB Делта (щат) Bulgarian Delta State BI Estat del Delta Catalan Delta State CEB Delta (delstat) Danish Delta (Bundesstaat) German

Responsive image

Responsive image