Dwight D. Eisenhower | |
![]() Dwight D. Eisenhower mnamo Mei 1959 | |
Makamu wa Rais | Richard Nixon |
---|---|
mtangulizi | Harry S. Truman |
aliyemfuata | John F. Kennedy |
tarehe ya kuzaliwa | Denison, Texas, Marekani | Oktoba 14, 1890
tarehe ya kufa | 28 Machi 1969 (umri 78) Washington, D.C., Marekani |
mahali pa kuzikiwa | Dwight D. Eisenhower Presidential Library, Museum and Boyhood Home |
ndoa | Mamie Eisenhower (m. 1916) |
watoto |
|
mhitimu wa | United States Military Academy |
signature | ![]() |
Military service | |
Awards |
Dwight David Eisenhower (14 Oktoba 1890 – 28 Machi 1969) alikuwa mwanajeshi na mwanasiasa kutoka nchi ya Marekani. Watu wengi walikuwa humwita Ike (tamka Aik). Wakati wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia alikuwa jenerali mkuu aliyeongoza uvamizi wa Normandy tarehe 5 Juni 1944. Kuanzia mwaka wa 1953 hadi 1961 alikuwa Rais wa 34 wa Marekani. Kaimu Rais wake alikuwa Richard Nixon.