Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Dwight D. Eisenhower

Dwight D. Eisenhower

Dwight D. Eisenhower mnamo Mei 1959

Makamu wa Rais Richard Nixon
mtangulizi Harry S. Truman
aliyemfuata John F. Kennedy

tarehe ya kuzaliwa (1890-10-14)Oktoba 14, 1890
Denison, Texas, Marekani
tarehe ya kufa 28 Machi 1969 (umri 78)
Washington, D.C., Marekani
mahali pa kuzikiwa Dwight D. Eisenhower Presidential Library, Museum and Boyhood Home
ndoa Mamie Eisenhower (m. 1916) «start: (1916-07)»"Marriage: Mamie Eisenhower to Dwight D. Eisenhower" Location: (linkback://sw.wikipedia.orgview.php?sq=crain_ford&lang=sw&q=Dwight_D._Eisenhower)
watoto
  • Doud Eisenhower
  • John Eisenhower
mhitimu wa United States Military Academy
signature
Military service
Awards
  • Army Distinguished Service Medal (5)
  • Navy Distinguished Service Medal
  • Legion of Merit
  • World War I Victory Medal
  • World War II Victory Medal

Dwight David Eisenhower (14 Oktoba 189028 Machi 1969) alikuwa mwanajeshi na mwanasiasa kutoka nchi ya Marekani. Watu wengi walikuwa humwita Ike (tamka Aik). Wakati wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia alikuwa jenerali mkuu aliyeongoza uvamizi wa Normandy tarehe 5 Juni 1944. Kuanzia mwaka wa 1953 hadi 1961 alikuwa Rais wa 34 wa Marekani. Kaimu Rais wake alikuwa Richard Nixon.


Previous Page Next Page