Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Elimu nchini Tanzania

Mwalimu akifundisha darasani

Elimu nchini Tanzania hutolewa na sekta zote mbili, yaani, sekta za serikali na binafsi. Muundo wake kiujumla ni kama ifuatavyo:[1]

  • Miaka 2 elimu ya vidudu/cheke-chea hutolewa kwa wanafunzi wenye umri kati ya miaka 5–6 (miaka 2), lakini hii watoto sehemu kubwa wanaanza wakiwa na umri wa miaka 3, ili kuwa na mazoea ya shule.
  • Miaka 7 elimu ya msingi ambayo hutolewa kwa watoto walio na umri wa miaka 7–13 (Darasa la I-VII)
  • Miaka 4 elimu ya sekondari hutolewa kati ya umri wa miaka 14–17 (Fomu 1-4)
  • Miaka 2 elimu ya juu ya sekondari hutolewa kati ya umri wa miaka 18–19 (Fom 5 na 6)
  • Miaka 3 zaidi elimu ya Chuo Kikuu
  1. Education in Basic Education Statistics in Tanzania: 2006-2010, Tanzania Ministry of Education and Vocational Training, June 2010, page iv Ilihifadhiwa 10 Mei 2012 kwenye Wayback Machine.

Previous Page Next Page






Education in Tanzania English חינוך בטנזניה HE ടാൻസാനിയയിലെ വിദ്യാഭ്യാസം Malayalam

Responsive image

Responsive image