Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Firenze

Firenze
Firenze is located in Italia
Firenze
Firenze

Mahali pa Firenze katika Italia

Majiranukta: 43°47′00″N 11°15′00″E / 43.78333°N 11.25000°E / 43.78333; 11.25000
Nchi Italia
Mkoa Toscana
Wilaya Firenze
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 360,000
Tovuti:  http://www.comune.fi.it/
Mji wa Firenze

Firenze (kwa Kiingereza Florence) ni mji katika Italia ya Kati na makao makuu ya mkoa wa Toscana. Kati ya mwaka 1865 hadi 1870 ilikuwa pia mji mkuu wa Ufalme wa Italia.

Mji uko juu ya mto Arno. Idadi ya wakazi ni mnamo 360,000 na pamoja na rundiko la mji ni takriban 1,100,000.


Previous Page Next Page






Florence AF Florenz ALS ፍሎረንስ AM Florencia AN Florentia ANG فلورنسا Arabic فلورنسا ARZ Florencia AST Firenze AVK Firenze AY

Responsive image

Responsive image