Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Gojoseon

Gojoseon

Gojoseon (고조선, 古朝鮮) ulikuwa ufalme wa kale wa Korea. Ufalme huu hehasabiwa kama taifa sahihi kabisa la watu wa Korea. Kwa mujibu wa Samguk Yusa na rekodi nyingine za zama za kati za Kikorea,[1] Gojoseon inasemekana kwamba ilianzishwa mnamo 2333 KK na mkongwe Dangun, ambaye anasemekana kwamba anatokea kwenye Ukoo wa Mbinguni (天孫, 천손). Ilikuwa katikati ya beseni la Mto Liao na upande wa kaskazini mwa Peninsula ya Korea.

  1. Tazama pia Jewang Ungi, Dongguk Tonggam, Sejong Sillok, na Chronicle of Korean Rulers, Jewang yeondaeryeok (제왕연대력, 帝王年代曆), imeandikwa na Choe Chiwon (최치원) (857 – ?)

Previous Page Next Page






ጎጆሰን AM Eald Corēa ANG غوجوسون Arabic Gojoseon AST قوجوسان سولا‌له‌سی AZB Кочосон BA Кочосон BXR Gojoseon Catalan گۆجۆسۆن CKB Kočoson Czech

Responsive image

Responsive image