Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Gustav Adolf

Huyu ndiye Gustav Adolf Lewenhaupt

Gustav Adolf alikuwa askari wa Swideni na mjumbe wa serikali. Alichaguliwa mjumbe Mkuu mwaka wa 1645, Mshauri Mkuu katika 1650, Mkuu mwaka 1651, Field Marshal mwaka wa 1655 na Gavana Mkuu wa Riga mwaka wa 1656.

Katika vita vya miaka thelathini (1618-1648) aliwaagiza askari kwenye vita vya Breitenfeld (vita vya kwanza vya Leipzig), mwaka wa 1642.

Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Gustav Adolf kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Previous Page Next Page