Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Habari

Habari (kutoka Kiarabu) ni mawasiliano ya maarifa kuhusu matukio ambayo huwasilishwa kwa watu kwa maneno ya kinywa, kwa maandishi kama vile magazeti, kwa matangazo ya masafa marefu kama vile redio au runinga, kwa intaneti n.k.

Neno hili linaweza kutumiwa pia katika sayansi kwa mawasiliano ya habari (kwa Kiingereza information, si news) kati ya seli za mwili, kwa mfano kati ya mkono na ubongo, kwa njia ya neva.


Previous Page Next Page






Nuus AF The - - - - ANG خبر (إعلام) Arabic ܛܐܒܐ ARC Noticia AST Xəbər AZ خبر AZB Bareta BCL Навіны BE Навіны BE-X-OLD

Responsive image

Responsive image