Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Hidalgo (jimbo)

Pachuca de Soto, Hidalgo
Bendera ya Hidalgo
Mahali pa Hidalgo katika Mexiko

Hidalgo ni moja kati ya majimbo 31 ya Mexiko upande wa kati ya nchi. Imepakana na San Luis Potosí, Veracruz, Puebla, Tlaxcala, Mexico na Querétaro. Mji mkuu na mji mkubwa ni Pachuca.

Kunako mwaka wa 2005, idadi ya wakazi ilikuwa 2,345,514. Una eneo la 20,502 km².

Jina la jimbo lilitolewa kwa heshima ya kiongozi wa uhuru wa Mexiko Miguel Hidalgo y Costilla.

Gavana wa jimbo ni Miguel Ángel Osorio Chong.

Lugha rasmi ni Kihispania.


Previous Page Next Page