Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Hira

21°27′27.20″N 39°51′33.90″E / 21.4575556°N 39.8594167°E / 21.4575556; 39.8594167

The entrance to the cave.

Hira (kwa Kiarabu: حراء Ḥirāʾ) au Pango la Hira (غار حراء Ġār Ḥirāʾ) ni pango lililopo karibu na mji wa Makka, kwenye Jabal an-Nūr, kanda ya Hejaz ya Saudi Arabia ya leo. Pango peke yake lina eneo la m 4 na urefu wa m 1.75 kwa mapana[1].

Linafahamika zaidi na Waislamu kwa kuwa sehemu ambao mtume Muhammad amepokea aya ya kwanza kutoka kwa Mwenyezi Mungu (Allah) kupitia malaika wake Jibril[1].

  1. 1.0 1.1 http://www.witness-pioneer.org/vil/Books/SM_tsn/ch1s7.html

Previous Page Next Page






غار حراء Arabic ХӀираъ нохъо AV Hira AZ Хира (мәмерйә) BA হেরা গুহা Bengali/Bangla Hira BS Cova de Hirà Catalan ئەشکەوتی حیڕا CKB Hirá Czech Hira Danish

Responsive image

Responsive image