Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Historia ya Kanisa


Historia ya Kanisa ni fani inayochunguza historia ya Ukristo na ya miundo yake mbalimbali tangu Kanisa lilipoanzishwa na Yesu Kristo katika karne ya 1 hadi leo.

Kwa kawaida historia hiyo hugawanywa katika hatua nne:

  1. kipindi cha Mitume wa Yesu na Mababu wa Kanisa (karne I-karne IX)
  2. Karne za kati (karne IX-karne XV)
  3. kipindi cha marekebisho (karne XVI-karne XVIII)
  4. kipindi cha sasa (karne XIX-karne XXI)

Previous Page Next Page