Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Hong Kong

中華人民共和國香港特別行政區
Hong Kong 
Eneo lenye utawala wa pekee la Jamhuri ya Watu wa China
Bendera ya Hong Kong Nembo ya Hong Kong
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa:
Wimbo wa taifa: sawa na China
Lokeshen ya Hong Kong
Mji mkuu --
Kihistoria makao ya serikali ilikuwa Victoria City.
22°17′ N 114°08′ E
sehemu yenye wakazi wengi wilaya ya Sha Tin
Lugha rasmi · Kichina (lahaja ya Kanton)
Kiingereza
Serikali
John Lee
Ilianzishwa
Kutwaliwa na Uingereza
25 Januari 1841
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
1,104 km² (--)
4.58
Idadi ya watu
 - 2014 kadirio
 - 2001 sensa
 - Msongamano wa watu
 
7,234,800 (ya 100)
6,708,389
6,544/km² (ya 3)
Fedha Hong Kong dollar (HKD)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
HKT (UTC+8)
{{{time_zone_DST}}} (UTC{{{utc_offset_DST}}})
Intaneti TLD .hk
Kodi ya simu +852 (01 from Macau)

-


Hong Kong

Hong Kong (kwa Kichina: 香港) ni eneo lenye utawala wa pekee ndani ya Jamhuri ya Watu wa China.

Iko upande wa mashariki wa delta ya Mto Zhu Jiang (Pearl River, Mto Lulu) unapoishia katika Bahari ya Kusini ya China. Inatazama bahari ya Uchina upande wa kusini ikipakana na jimbo la Guangdong upande wa kaskazini. Tarehe 23 Oktoba 2018 rais wa China Xi Jinping alizindua rasmi daraja la baharini refu kuliko yote duniani (kilometa 55) linalounganisha Hong Kong, Macau na China bara (mji wa Zhuhai).

Hongkong ilikuwa koloni la Uingereza kwenye pwani ya China kwa zaidi ya miaka 99, likarudishwa chini ya utawala wa Kichina mwaka 1997. Inaendelea kutawaliwa na sheria zake za pekee chini ya mamlaka kuu ya serikali ya Beijing.

Siku hizi ni eneo tajiri kabisa katika Uchina wote.


Previous Page Next Page






Гонконг AB Hong Kong ACE Hongkong AF Hongkong ALS Гонконг ALT ሆንግ ኮንግ AM Hong Kong AMI Hong Kong AN Hongcong ANG Ọn̄ Kọn̄ ANN

Responsive image

Responsive image