Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Jaramogi Oginga Odinga

Oginga Odinga kwenye kitabu cha tawasifu yake.

Jaramogi Ajuma Oginga Odinga (1911 hivi – 20 Januari 1994) alikuwa mwalimu, mfanyabiashara, mwanasiasa na kiongozi wa Waluo nchini Kenya. Alikuwa makamu wa rais wa kwanza wa Kenya.


Previous Page Next Page