Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Java

Ramani ya Java.
Mahali pake.

Java ni kisiwa cha Indonesia. Kiko upande wa kusini-mashariki wa kisiwa cha Sumatra.

Eneo la kisiwa ni km² 138,794.

Mwaka wa 2014 idadi ya watu kisiwani imehesabiwa kuwa milioni 143. Watu wakaao kisiwani mwa Java huongea lugha mbalimbali, hasa Kijava, Kisunda na Kimadura.

Mji mkubwa kabisa kisiwani huitwa Jakarta.

Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.


Previous Page Next Page






Jawoë ACE Java (eiland) AF ጃዋ AM Chava AN جاوة Arabic জাভা দ্বীপ AS Xava AST Yava AZ Ява BA Jawa BAN

Responsive image

Responsive image