Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Jefferson City, Missouri

Mji wa Jefferson City, Missouri






Jefferson City

Bendera
Majiranukta: 38°34′36″N 92°10′25″W / 38.57667°N 92.17361°W / 38.57667; -92.17361
Nchi Marekani
Jimbo Missouri
Wilaya Callloway
Cole
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 40,771
Tovuti:  http://www.jeffcitymo.org/

Jefferson City ni jina la mji mkuu wa jimbo la Missouri huko nchini Marekani. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2008, mji una wakazi wapatao 41,000 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 192 kutoka juu ya usawa wa bahari. Eneo lake ni 73.2 km².


Previous Page Next Page