Jeshi la majini au Jeshi la wanamaji ni kitengo cha pekee cha jeshi la mataifa mengi kilicho tayari kushindana na maadui kwenye maji hasa baharini.
Linajumlisha askari, manowari, meli za kusaidia manowari, bandari ya pekee na vituo vingine na pia eropleni za vita ya bahari.