Kikundi cha waasi wa Kiislamu nchini Mali
Jihadi ni neno lenye asili ya Kiarabu (جهاد jihād) na lenye maana ya kujitahidi kwa ajili ya Allah katika dini ya Uislamu.
Mtu anayehusika katika jihadi huitwa "mujahid". Jihadi ni wajibu wa kidini kwa Waislamu.