Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Jimbo la Niger

Jimbo la Niger
Jina la kiutani: The Power State
Mahali pa jimbo nchini
Eneo la jimbo la Niger nchini Nigeria
Takwimu
Gavana
(Orodha)
Mu'azu Babangida Aliyu (PDP)
Tarehe ya kuanzishwa 3 Februari 1976
Mji mkuu Minna
Eneo 76,363 km ²
Lina orodheshwa la kwanza
Idadi ya wakazi
Sensa ya 1991
2005 makadirio
Liliorodheshwa la 18
2,482,367
4,082,558
GDP (PPP)
 -Jumla
 -Per capita
2007 (makadirio)
$ 6.00 bilioni [1]
$ 1,480 [1]
ISO 3166-2 NG-NI
Mahali pa jimbo la Niger katika Nigeria

Jimbo la Niger ni jimbo lililoko upande wa magharibi mwa nchi ya Nigeria na ndilo jimbo kubwa nchini humo.

Mji mkuu wake ni Minna na miji mikubwa mingine ni Bida, Kontagora na Suleja. Liliundwa mwaka wa 1976 wakati Jimbo la Kaskazini Magharibi liligawanywa na kuunda majimbo ya Sokoto na Niger.

Jina la jimbo hili linatokana na Mto Niger, mbili kati ya stesheni kubwa za kutengezea nguvu za umeme za Nigeria. Bwawa la Kainji na Bwawa la Shiroro ziko katika Jimbo hili. Pia kuna Mbuga ya Kitaifa ya Kainji iliyo kubwa zaidi nchini Nigeria na ina Ziwa Kainji.

  1. 1.0 1.1 "C-GIDD (Canback Global Income Distribution Database)". Canback Dangel. Iliwekwa mnamo 2008-08-20.

Previous Page Next Page






Naija ANN ولاية نيجر Arabic Niger ştatı AZ نیجر ایالتی AZB Нигер (щат) Bulgarian Niger State BI Estat del Níger Catalan Niger State CEB Niger (federální stát) Czech Niger (delstat) Danish

Responsive image

Responsive image