Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


John Samwel Malecela

John Samwel Malecela (amezaliwa tar. 20 Aprili 1934). Alikua mbunge wa jimbo la Mtera katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM. Pia alikua Naibu Mwenyekiti wa CCM kuanzia mwaka (2005-2009), Waziri Mkuu (1990-1994), Kamishina Mkuu wa Tanzania huko Uingereza (1989-1999), Waziri wa Utamaduni Chakula na Usalama (1975-1980), na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa (1972-1975).

  1. ["Mengi kuhusu John Samwel Malecela". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2010-06-18. Iliwekwa mnamo 2010-11-13. Mengi kuhusu John Samwel Malecela]

Previous Page Next Page






John Malecela German John Malecela English جان مالیسیلا FA John Malecela FF John Malecela Dutch John Malecela NN John Malecela NB John Malecela Polish Малесела, Джон Russian John Malecela SIMPLE

Responsive image

Responsive image