Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Juneau, Alaska






Juneau

Bendera
Majiranukta: 58°23′00″N 134°11′00″W / 58.38333°N 134.18333°W / 58.38333; -134.18333
Nchi Marekani
Jimbo Alaska
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 30,690
Tovuti:  www.juneau.org
Nyumba za Juneau

Juneau ni mji mkuu wa Alaska (jimbo la Marekani). Mwaka 2000 mji ulikuwa na wakazi 30,711. Mji upo m 17 kutoka juu ya usawa wa bahari.

Juneau iliundwa 1881 kutokana na kambi la wachimba dhahabu. Jina la mji latunza kumbukumbu la Joe Juneau aliyekuwa kati ya watu waliogundua dhahabu hapa.



Miji mikuu ya majimbo ya Marekani

AlabamaAlaskaArizonaArkansasCaliforniaColoradoConnecticutDelawareFloridaGeorgiaHawaiiIdahoIllinoisIndianaIowaKansasKentuckyLouisianaMaineMarylandMassachusettsMichiganMinnesotaMississippiMissouriMontanaNebraskaNevadaNew HampshireNew JerseyNew MexicoNew YorkNorth CarolinaNorth DakotaOhioOklahomaOregonPennsylvaniaRhode IslandSouth CarolinaSouth DakotaTennesseeTexasUtahVermontVirginiaWashingtonWest VirginiaWisconsinWyoming


Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Juneau, Alaska kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Previous Page Next Page






Juneau AF ጁነው፣ አላስካ AM Juneau (Alaska) AN Jūnbyrg ANG جونو (ألاسكا) Arabic جونو (امريكا) ARZ Juneau (Alaska) AST Cuno (Alyaska) AZ جونو، آلاسکا AZB Juneau BAR

Responsive image

Responsive image