Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Kaduna

Kaduna
Majiranukta: 10°31′23″N 7°26′25″E / 10.52306°N 7.44028°E / 10.52306; 7.44028
Country Nigeria
State Kaduna
Serikali
 - Governor Mohammed Namadi Sambo
Eneo
 - Jumla (3,080 km²)
Idadi ya wakazi (2006)
 - Wakazi kwa ujumla 1,458,900
 - Ethnicities Hausa
CET (UTC+1)
 - Summer (DST) CEST (UTC+1)
Tovuti:  http://www.kadunastate.gov.ng/
Mto Kaduna.

Kaduna ni mji mkuu wa jimbo la Kaduna kaskazini-kati mwa Nigeria. Mji huo, ambao uko kwenye Mto wa Kaduna, ni kiini cha biashara kubwa na usafiri kwa maeneo ya kilimo yaliyo karibu pamoja na reli na makutano ya barabara.

Idadi ya wakazi wa Kaduna ni 8,252,400.

Ishara ya Kaduna ni mamba, aitwaye Kada katika lugha ya Kihausa .


Previous Page Next Page






Kaduna AF كادونا Arabic كادونا ARZ کادونا AZB Кадуна BE Кадуна Bulgarian Kaduna (ciutat) Catalan Kaduna (kapital sa estado) CEB Kaduna Danish Kaduna (Nigeria) German

Responsive image

Responsive image