| |||||
Kaulimbiu ya taifa: Kilatini: A Mari Usque Ad Mare ("Bahari hadi bahari") | |||||
Wimbo wa taifa: "O Canada" Wimbo wa kifalme: "God Save the King" | |||||
Mji mkuu | Ottawa | ||||
Mji mkubwa nchini | Toronto | ||||
Lugha rasmi | Kiingereza, Kifaransa | ||||
Serikali | Ufalme wa kikatiba, shirikisho, demokrasia Charles III Mary Simon Justin Trudeau | ||||
Uhuru Sheria ya 1867 Mkataba wa Westminster Sheria kuhusu Kanada |
1 Julai 1867 11 Desemba 1931 17 Aprili 1982 | ||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
9,984,670 km² (ya 2) 11.76 | ||||
Idadi ya watu - 2023 kadirio - 2021 sensa - Msongamano wa watu |
39,858,480 (ya 37) 36,991,981 4.2/km² (ya 236) | ||||
Fedha | Dollar ya Kanada ($) ( )
| ||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
(UTC-3.5 to -8) (UTC-2.5 to -7) | ||||
Intaneti TLD | .ca | ||||
Kodi ya simu | +1
|
Kanada ni nchi kubwa ya Amerika ya Kaskazini na ya pili duniani kwa eneo baada ya Urusi, lakini idadi ya wakazi ni 39,858,480 tu (2023).
Kwenye nchi kavu imepakana na Marekani bara na jimbo la Alaska. Mbele ya pwani zake kuna kisiwa kikubwa cha Greenland ambacho ni chini ya Denmark halafu visiwa vidogo vya St. Pierre na Miquelon (Ufaransa).