Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Kansas

Sehemu ya Jimbo la Kansas







Kansas

Bendera

Nembo
Nchi Bendera ya Marekani Marekani
Mji mkuu Topeka
Eneo
 - Jumla 213,096 km²
 - Kavu 211,900 km² 
 - Maji 1,196 km² 
Tovuti:  http://www.kansas.gov/

Kansas ni jimbo la kujitawala la Maungano ya Madola ya Amerika au Marekani. Mji mkuu ni Topeka na mji mkubwa ni Wichita.

Kansas ni hasa jimbo la kilimo cha ngano pamoja na alizeti na mtama.

Jimbo lina wakazi wapatao 6,376,792 (2008) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 213,096.

Imepakana na Nebraska, Missouri, Oklahoma na Colorado.


Previous Page Next Page






Kansas AF ካንሳስ AM Kansas AN Cǣnsas ANG كانساس Arabic ܟܐܢܣܐܣ ARC كانساس ARY كانزاس ARZ Kansas AST Kansas suyu AY

Responsive image

Responsive image