Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Karani

Karani wa manispaa, mchoro wa Albert Anker, 1874.

Karani (kutoka neno la Kiarabu قرا kusoma[1]) ni mtu ambaye hufanya kazi za ofisini katika taasisi za serikali au kampuni au mwajiri mwingine yeyote.

Wajibu wa karani ni pamoja na utunzaji wa kumbukumbu na majukumu mengine ya kusaidia utawala. [2]

  1. linganisha kamusi ya Krapf, 1882 "karani"
  2. "Merriam Webster, definition of clerical worker". Iliwekwa mnamo 2007-06-07.

Previous Page Next Page






موظف كتابي Arabic فەرمانبەر CKB Kontorist German Clerk English کارمند FA Commis French פקיד HE Impiegato Italian 事務職 Japanese ಗುಮಾಸ್ತ KN

Responsive image

Responsive image