Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Kaunti ya Uasin Gishu

Ramani ikionesha eneo la Kaunti ya Uasin Gishu, Kenya.

Kaunti ya Uasin Gishu ni mojawapo za kaunti za Kenya zilizobuniwa baada ya katiba mpya ya Jamhuri ya Kenya kupitishwa mwaka 2010. Uasin Gishu ni kaunti nambari 27 kulingana na orodha uliobuniwa kurahisisha utambulizi.

Wakati wa sensa uliofanyika mwaka 2019 ,idadi ya wakaazi ilikuwa 1,163,186 katika eneo la km2 3,392.2, msongamano ukiwa hivyo wa watu 343 kwa kilometa mraba[1].

Makao makuu yako Eldoret.

  1. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2019-11-13. Iliwekwa mnamo 2021-05-30.

Previous Page Next Page