Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Kaunti ya Vihiga

Picha ya ramani ikionesha eneo la Kaunti ya Vihiga, Kenya

Kaunti ya Vihiga ni mojawapo ya kaunti za Kenya zilizopo baada ya katiba mpya ya Jamhuri ya Kenya kupatikana mwaka 2010.

Wakati wa sensa ya mwaka 2019 wakazi walikuwa 590,013 katika eneo la km2 563.8, msongamano ukiwa hivyo wa watu 1,047 kwa kilometa mraba[1].

Makao makuu yako Vihiga.

  1. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2019-11-13. Iliwekwa mnamo 2021-05-30.

Previous Page Next Page