Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Kaunti ya Wajir

Kaunti ya Wajir
Kaunti
Nembo ya Serikali
Wajir County in Kenya.svg
Kaunti ya Wajir katika Kenya
Coordinates: 1°44′50″N 40°04′08″E / 1.74722°N 40.0689°E / 1.74722; 40.0689
Nchi Kenya
Namba8
IlianzishwaTarehe 4 Machi, 2013
Ilitanguliwa naMkoa wa Kaskazini Mashariki
Makao MakuuWajir
Miji mingineHabaswein, Tarba
GavanaBalozi Mohamed Abdi Mahamud EGH
Naibu wa GavanaAhmed Muktar Ali
SenetaAbdullahi Ibrahim Ali
Mbunge Mwanamke(Bunge la Taifa)Fatuma Gedi Ali
Bunge la KauntiBunge la Kaunti ya Wajir
Eneokm2 56 773.1 (sq mi 21 920.2)
Idadi ya watu781,263[1].
Wiani wa idadi ya watu14
Kanda mudaSaa za Afrika Mashariki (UTC+3)
Tovutiwajir.go.ke

Kaunti ya Wajir ni mojawapo ya kaunti za Kenya zilizopo baada ya katiba mpya ya Jamhuri ya Kenya kupatikana mwaka 2010.

Wakati wa sensa ya mwaka 2019 wakazi walikuwa 781,263 katika eneo la km2 56,773.1, msongamano ukiwa hivyo wa watu 14 kwa kilometa mraba[2]..

Makao makuu yako Wajir.

  1. www.knbs.or.ke
  2. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2019-11-13. Iliwekwa mnamo 2021-05-29.

Previous Page Next Page