Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Kidole

Majina ya vidole vya mkono:
1 Kidole gumba, 2 Kidole cha shahada,
3 Kidole kirefu, 4 Kidole cha pete, 5 Kidole cha mwisho

Kidole ni kiungo cha mwili kilichopo kwenye ncha ya mkono na mguu. Kwa kawaida mwanadamu huwa na vidole 5 kwenye kila mkono na kila mguu.

Vidole vya mkononi vinakua kutoka kiganja vinaitwa kwa majina kama vile kidole gumba, kidole cha shahada, kidole cha kati, kidole cha pete na kidole cha mwisho. Ni viungo muhimu kwa kushika vitu na kutumia vifaa.


Wikimedia Commons ina media kuhusu:

Previous Page Next Page






Dido AN إصبع (تشريح) Arabic ܨܒܥܐ ARC Килищ AV Barmaq AZ Бармаҡ BA Jari BDR Палец BE Палец BE-X-OLD Jeriji BEW

Responsive image

Responsive image