Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Kiingereza

Buluu nyeusi: Nchi ambako Kiingereza ni lugha ya kwanza ya wananchi wengi;
buluu nyeupe: nchi ambako Kiingereza ni lugha rasmi lakini si lugha ya kwanza ya watu wengi.
EN (ISO 639-1)

Kiingereza ni lugha ya jamii ya Kijerumaniki cha Magharibi iliyokua nchini Uingereza kwa muda wa miaka 1,400.

Leo, zaidi ya wasemaji milioni mia nne duniani wanazumgumza Kiingereza kama lugha ya kwanza. Watu wengi zaidi wanazumgumza Kiingereza kama lugha ya pili, kwa sababu ni muhimu sana kwenye nyanja za mawasiliano, sayansi na uchumi wa kimataifa.


Previous Page Next Page






Англыз бызшәа AB Basa Inggréh ACE Инджылызыбзэ ADY Engels AF Englische Sprache ALS እንግሊዝኛ AM Ikiris a sowal AMI Idioma anglés AN Niwenglisc spræc ANG अंग्रेजी भाषा ANP

Responsive image

Responsive image