Gikuyu, Kikikuyu | ||
---|---|---|
Gĩkũyũ | ||
Inazungumzwa nchini | Kenya | |
Jumla ya wazungumzaji | takriban 5,500,000 (1994 I. Larsen BTL)[1]. | |
Familia ya lugha | Lugha za Niger-Kongo
| |
Misimbo ya lugha | ||
ISO 639-1 | ki | |
ISO 639-2 | kik | |
ISO 639-3 | kik | |
Note: This page may contain IPA phonetic symbols in Unicode. |
Kikikuyu (jina la wenyewe: Gĩkũyũ) ni lugha ya Kibantu inayojadiliwa na Wagikuyu ambao watu milioni 5.5 nchini Kenya ni lugha yenye wasemaji wengi katika nchi hii. Kama lugha ya Kibantu ni sehemu ya lugha za Niger-Kongo.
Wasemaji wanaishi kiasili kwenye nyanda za juu za Kenya ya Kati kati ya Nyeri na Nairobi. Siku hizi wanapatikana kote Kenya. Lugha ina vikundi vinne vya lahaja ambazo ni za Kirinyaga, Murang'a, Nyeri na Kiambu.
Gikuyu inafanana kwa kiasi kikubwa na Kiembu, Kimeru na Kikamba.