Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.
Kikushi
Kikushi ni lugha ya Kiafrika-Kiasia nchini Nigeria inayozungumzwa na Wakushi. Mnamo Mwaka 1995 idadi ya wasemaji wa Kikushi ilihesabiwa kuwa watu 11,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kikushi iko katika kundi la Kichadiki.