Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Kimeru (Tanzania)

Kimeru (au Kirwa) ni lugha ya Kibantu nchini Tanzania inayozungumzwa na Warwa. Isichanganywe na lugha ya Kimeru nchini Kenya. Mwaka wa 1987 idadi ya wasemaji wa Kimeru imehesabiwa kuwa watu 90,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kimeru iko katika kundi la E60.


Previous Page Next Page






Rwa Finnish ルワ語 Japanese Lenga Rwa PMS

Responsive image

Responsive image