Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.
Kingindo
Kingindo ni lugha ya Kibantu nchini Tanzania inayozungumzwa na Wangindo. Mwaka wa 1987 idadi ya wasemaji wa Kingindo imehesabiwa kuwa watu 220,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kingindo iko katika kundi la P10.